Jarida
la Glitz Afrika limetoa list yao ya Wanawake 20 wenye mvuto zaidi ndani
ya Afrika ambapo kwenye hii list yao ameonekana Mtanzania mmoja tu
ambapo millardayo.com imeipata list nzima na iko tayari kushea na wewe
kwa kuanza kutiririka hapa chini…
Huyu ni Millen Magesse ndiye mtanzania pekee aliyeingia kwenye list hiyo.
Huyu ni Millen Magesse ndiye mtanzania pekee aliyeingia kwenye list hiyo.
Huyu hapa chii ni Leila Lopes (Angola)
Huyu anaefata hapa chini ni Stephanie Linus (Nigeria)Babalwa “Barbz” Mneno (South Africa
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni